Heko na Haki By Queenex Publishers

KSh 190.00

Heko na Haki By Queenex Publishers

SKU: 20528 Category:

Description

Hadithi hii inawahusu Heko, Haki na marafiki 200 Sudi na Bidii.
Watoto hawa wote licha ya kushiriki kwenye michezo yao kwa pamoja wanawatii wazazi wao na kila mtu
wanaheshimiana na wanakua kulingana na wakati na umri wOO. Nina imani kuwa kila mmoja atakapoisoma
hadithi hii ataifurahia. Je, wewe waupenda mchezo upi?
Tom Nyambeka (Mtatago) si mgeni katika uga wa uandishi. Miongoni mwa kazi zake nyingine ni pamoja na Ahaa!
Roda, kivuli cha Mauko na Bintu na Bintutu

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Heko na Haki By Queenex Publishers”

Your email address will not be published. Required fields are marked *