Moran Stadi Za Kiswahili Gredi ya 5

KSh 592.00

Moran Stadi za Kiswahili Gredi ya 5

1 in stock

SKU: 21454 Category:

Description

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Umilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
• Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 5.
• Maswali dadisi yametumiwa kutanguliza dhana zilizomo.
• Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi.
• Kimeshughulikia masuala makuu yote kwa mujibu wa ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5
• Kimejumuisha mada kuu na mada ndogo zote.
• Yaliyomo yamepangwa kulingana na ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5.
• Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu.
• Kimeshughulikia matokea maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 5.
• Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Umilisi.
• Kimeshughulikia masuala mtambuko yote.
• Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi.
• Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma na kuandika
• Michoro na picha za rangi zinachangia yaliyomo kueleweka kwa urahisi.
• Maandishi makubwa na ya rangi mbalimbali yanasomeka kwa urahisi.

Haya na mengine mengi yanadhamiriwa kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 5 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Moran Stadi Za Kiswahili Gredi ya 5”

Your email address will not be published. Required fields are marked *